Die de Verzen van Allah hoort reciteren, maar toch aan zijn trots vasthoudt alsof hij hen niet hoort. Verkondig aan hem dus een pijnlijke bestraffing!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Anayezisikia aya za kitabu cha Mwenyezi Mungu akisomewa kisha akaendelea kwenye ukanushaji wake kwa kujiona ni mkubwa zaidi wa kutoweza kumfuata Mwenyezi Mungu na Mtume wake, kama kwamba yeye hakusikia alichosomewa miongoni mwa aya za Mwenyezi Mungu. Basi mbashirie, ewe Mtume, huyo mrongo sana mwenye dhambi nyingi adhabu yenye uchungu inayoumiza ndani ya Moto wa Jahanamu Siku ya Kiyama.