(Zij) zweven hiertussen en zij behoren noch tot dezen noch tot genen. En degene die Allah laat dwalen, daar vinden jullie nooit een weg voor.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hali ya hawa wanafiki ni kutokuwa na msimamo, kuchangayikiwa na kubabaika, hawathibiti kwenye hali moja, hawako pamoja na Waumini wala hawako pamoja na makafiri. Na yoyote ambaye Mwenyezi Mungu Ameupotoa moyo wake usimuamini na usishikamane na uongofu Wake, huyo hutampatia njia ya kufikia uongofu na yakini.