Hoe kan het dan, wanneer een ramp hun getroffen heeft, door wat hun handen vooruit hebben gestuurd, zij tot jou komen en bij Allah zweren: “Wij hadden niets anders dan het goede en verzoening voor ogen!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hali ya wanafiki hawa itakuwa namna gani, watakapofikiwa na misiba kwa sababu ya makosa yaliyotendwa na mikono yao kisha wakakujia, ewe Mtume, wakitoa udhuru na kukuhakikishia kwamba wao hawakuwa na malengo yoyote, kwa matendo yao hayo, isipokuwa ni kutenda wema na kuleta upatanishi baina ya wagomvi?