Zij zeiden: “Zo heeft jouw Heer gesproken. Waarlijk, Hij is de Alwijze, de Alwetende.” ۞
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Malaika wa Mwenyezi Mungu wakamwambia, «Hivyo ndivyo Alivyosema Mola wako kama tulivyokwambia. Na Yeye Muweza wa hilo, hapana la ajabu kutokana na uweza Wake. Hakika Yeye, Aliyetakasika na kutukuka, Ndiye Mwenyew hekima Anayeviweka vitu mahali pake, Ndiye Mwenye kuyajua maslahi ya waja Wake.