Het volk van ‘Ad loochende en hoe vreselijk was Mijn bestraffing en Mijn waarschuwing?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Watu wa kabila la 'Ād walimkanusha Hūd tukawatesa, basi ilikuwa vipi vile nilivyowaadhibu wao kwa ukafiri wao na vile nilivyowaonya wao kwa kumkanusha Mtume wao na kutomuamini? Ilikuwa kubwa yenye uchungu.