Zeker, als zij verbannen worden, dan zullen zij niet met hen wegtrekken; en als zij aangevallen worden, zullen zij hen niet helpen. En als zij hen helpen, dan keren zij hun rug toe, zodat zij niet geholpen worden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Lau Mayahudi watatolewa Madina, wanafiki hawatatoka pamoja na wao, na lau watapigwa vita hawatapigana pamoja na wao kama walivyoahidi. Na lau watapigana pamoja na wao wangalipa mgongo hali ya kukimbia kwa kushindwa, kisha Mwenyezi Mungu Hatawanusuru, bali Atawaacha bila kuwasaidia na Atawadhalilisha.