(Gedenk) toen de metgezellen zeiden: “O, Isa, zoon van Maryam! Kan jou Heer voor ons een gedekte tafel (met voedsel) neerzenden uit de hemel?” Isa zei: “Vrees Allah, als jullie waarlijk gelovigen zijn.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na ukumbuke waliposema Ḥawāriyyūn (wasafiwa wa Nabii ‘Īsā kati ya wafuasi wake), «Ewe ‘Īsā mwana wa Maryam! Je, Anaweza Mola wako, ukimuomba, kututeremshia meza ya chakula kutoka mbinguni?» Jawabu yake ilikuwa ni kuwataka wao wajikinge na adhabu ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, wakiwa ni wenye kuamini Imani ya kikweli.