Zij wensen het licht van Allah met hun monden te doven. Maar Allah zal Zijn licht vervolmaken zelfs als de ongelovigen (het) haten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hawa madhalimu wanataka kuitangua haki aliyotumilizwa kwayo Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, nayo ni Qur’ani, kwa maneno yao ya urongo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuipa nguvu haki kwa kuitimiza Dini Yake japokuwa wale wapingaji wenye kukanusha watachukia.