Het maakt hen niet uit of jij voor hen vergeving vraagt of niet. Allah zal hen nooit vergeven.Waarlijk, Allah leidt geen volk dat verdorven is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Yanalingana kwa wanafiki hawa, uwaombee msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu, ewe Mtume, au usiwaombee, kwani Mwenyezi Mungu Hatazisamehe dhambi zao kabisa kwa sababu ya kuendelea kwao na uasi na kujikita kwao kwenye ukafiri. Hakika Mwenyezi Mungu Hawaelekezi kwenye Imani watu wanaomkanusha waliotoka nje ya utiifu Kwake.