Als jullie Allah een goede lening geven, dan zal Hij die voor jullie verdubbelen, en jullie vergeven. En Allah is Waarderend, Verdraagzaam.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Iwapo mtatoa mali yenu katika njia ya Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Yeye na kwa moyo mzuri, Atawaongezea Mwenyezi Mungu thawabu za ambacho mmekitoa na Atawasamehe madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kurudisha shukrani kwa watoaji kwa kuwapa malipo mema ya kile walichokitoa, ni Mpole kwa kutoharakisha mateso kwa wanaomuasi.