Degenen die ongelovig zijn veronderstellen dat zij nooit zullen herrijzen. Zeg: “Ja! Bij mijn Heer, jullie zullen zeker herrijzen en dan zal jullie verteld worden wat jullie hebben gedaan, en dat is gemakkelijk voor Allah.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Walidai wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu kwa ubatilifu kwamba wao hawatatolewa kwenye makaburi yao baada ya kufa. Waambie, ewe Mtume, «Ndio. Naapa kwa Mola wangu! Mtatolewa makaburini mwenu mkiwa hai, kisha mtapewa habari ya yale mliyoyafanya duniani. Na hilo kwa Mwenyezi Mungu ni sahali na rahisi.