Of jullie je gesprekken nu in het geheim of openbaar houden, waarlijk, Hij is Alwetend van wat er in de harten is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na yaficheni maneno yenu, enyi watu, katika jambo lolote miongoni mwa mambo yenu , au yadhihirisheni, kwani yote mawili mbele ya Mwenyezi Mungu ni sawa. Hakika Yeye , kutakasika ni Kwake, ni Mjuzi wa yaliyomo ndani ya vifua, basi yatafichamana vipi maneno yenu na matendo yenu Kwake Yeye!