En hij stak zijn hand uit en zie! Deze was witstralend voor de toeschouwers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akauvuta mkono wake kutoka kwenye uwazi wa kanzu iliyofunguliwa kifuani au chini ya kapwa lake, na papo hapo ukawa mweupe kama maziwa usio na mbalanga, ukiwa ni alama kwa Fir'awn; akiurejesha unarudi rangi yake ya mwanzo, kama ulivyo mwili wake.