De leiders van de mensen van de Farao zeiden: “Dit is zeker een goed onderrichte tovenaar!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Watukufu wa watu wa Fir'awn walisema, «Hakika Mūsā ni mchawi, anayatawala macho ya watu kwa kuwadanganya mpaka ikawaingia kwenye fikira zao kuwa fimbo ni nyoka, na kukiona kitu kinyume na vile kilivyo, na yeye ana ujuzi mwingi wa uchawi na ana uhodari nao.