Zij zeiden: “O, Mozes! Gooi jij eerst of gooien wij (eerst)?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wakasema wachawi wa Fir'awn kumwambia Mūsā, kwa njia ya kujiona na kutojali. «Ewe Mūsā, chaguwa uwe ni wa mwanzo kutupa fimbo yako au tuwe sisi ni wa mwanzo kutupa.»