Volg dan hetgeen aan jullie is neergezonden van jullie Heer en volg buiten Hem geen leiders. Weinig is het dat jullie je laten vermanen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Yafuateni, enyi watu, hayo yaliyoteremshwa kutoka kwa Mola wenu miongoni mwa Qur’ani na Sunnah(mafundisho ya Mtume) kwa kufuata maamrisho na kuepuka makatazo Na wala msiwafuate wategemewa badala ya Mwenyezi Mungu, kama mashetani na wasomi wa Kiyahudi na watawa wa Kinaswara. Hakika nyinyi ni mara chache mnapowaidhika na kuzingatia na mkarudi kwenye haki.