De leiders van degenen die arrogant onder hun mensen waren zeiden: “Wij zullen je zeker uit onze stad, verdrijven O, Shoe’aib en ook degenen die in jou geloofden, tenzij jullie tot onze godsdienst terugkeren.” Hij zei: “Ook al haten wij het!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Walisema watukufu na wakubwa wa watu wa Shu'ayb waliokataa, kwa kiburi, kumuamini Mwenyezi Mungu na kumfuata Mtume Wake Shu'ayb, amani imshukiye, «Tutakutoa, ewe Shu'ayb, wewe na walio pamoja na wewe kutoka kwenye miji yetu, isipokuwa ukiwa utarudi kwenye dini yetu.» Shu'ayb akasema akilipinga na kulionea ajabu neno lao, «Je, tuwafuate nyinyi kwenye dini yenu na mila yenu ya batili hata kama sisi tunaichukia kwa kujua kwetu ubatili wake?»