Degenen die Shoe’aib negeerden werden (zo vernietigd) alsof zij daar nooit gewoond hadden. Degenen die Shoe’aib negeerden werden de verliezers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wale ambao walimkanusha Shu'ayb walikuwa kama kwamba hawakukaa kwenye nyumba zao wala hawakustarehe humo. Kwani walimalizwa, isibaki alama yoyote yao, wakapatikana na hasara na maangamivu duniani na Akhera.