Als jullie hen dus in de oorlog treffen, straf hen dan streng om degenen die achter hen staan uiteen te drijven, zodat zij een les moge leren.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Pindi utakapopambana na hawa, wanaovunja ahadi na mapatano, katika vita, wape adhabu ambayo itatia kicho kwenye nyoyo za wegine na itaitawanya mikusanyiko yao, huenda wao wakazingatia wasiwe na ujasiri wa kufanya kama yale waliyoyafanya waliotangulia.