Alif, Lām, Rā. (Dit is) een Boek dat Wij aan jou (O Mohammed) hebben geopenbaard opdat jij de mensheid uit de duisternis naar het licht moge leiden, met toestemming van hun Heer, naar het Pad van de Almachtige, de Eigenaar van alle lofbetuigingen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Alif, Lām, Rā. Hii Qur’ani ni kitabu tulichokuletea wahyi ili uwatoe binadamu kutoka kwenye upotevu na upotovu kuwapeleka kwenye uongofu na mwangaza, kwa idhini ya Mola wao na taufiki Yake kwao, kwenye Uislamu ambao ndio njia ya Mwenyezi Mungu Mwenye kushinda Anayehimidiwa kwa kila hali.