En degenen die ongelovig waren zeiden tot hun Boodschappers: “Zeker, wij zullen jullie het land uit jagen, of jullie moeten tot onze godsdienst terugkeren.” Toen openbaarde hun Heer hen: “Waarlijk, Wij zullen de onrechtvaardigen vernietigen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Nyoyo za makafiri ziliingia dhiki kwa maneno ya Mitume na wakasema kuwaambia, «Hakika tutawatoa kutoka miji yetu mpaka mrudi kwenye dini yetu.» Mwenyezi Mungu Akatuma wahyi kwa Mitume kwamba Atawaangamiza wenye kukataa wenye kumkanusha Yeye na Mitume Wake.