En verkondig aan de mensheid de Haddj. Zij zullen te voet en op elke magere kameel naar jou komen, zij zullen van diepe en verre bergpassen komen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na uwajulishe watu, ewe Ibrāhīm, uwajibu wa Hija juu yao, watakujia kwa kila namna zao, wakiwa wanatembea kwa miguu na wakiwa wanapanda, miongoni mwa ngamia, kila aliyeambata matumbo kwa kutembea na kufanya kazi na sio kwa udhaifu. Watakuja kutoka njia ya mbali,