En onder de mensheid is hij die over Allah redetwist, zonder kennis, en zij volgen elke opstandige duivel.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na baadhi ya vichwa vya ukafiri miongoni mwa watu wanaleta utesi na wanatilia shaka uweza wa Mwenyezi Mungu wa kufufua, kwa ujinga wao wa kutojua uhakika wa uweza huu na kwa kumfuata kila shetani mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mitume Wake kati ya viongozi wa upotevu.