Waarlijk, Hij zal hen een plaats laten binnengaan wat hen blij maakt en waarlijk, Allah is zeker Alwetend (en) Verdraagzaam.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Atawatia Mola wao tena Atawatia mahali pa kuingia ambapo watapapenda, napo ni Peponi. Na kwa hakika Mwenyezi Mungu Anamjua sana yule anayetoka katika njia Yake na mwenye kutoka kwa ajili ya ulimwengu, ni Mpole kwa wale waliomuasi hawafanyii haraka kuwatesa.