Dat is omdat Allah de Waarheid is en omdat Hij Degene is Die het leven geeft aan de doden en omdat Hij Degene is Die tot alle dingen in staat is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hayo yaliyotangulia kutajwa, miongoni mwa alama za uweza wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, ndani yake pana dalili ya kukata kwamba Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kutakasika, Ndiye Mola Mwenye kuabudiwa kwa haki Ambaye hakuna anayefaa kuabudiwa isipokuwa Yeye, na Yeye Ndiye Mwenye kuwahuisha wafu, na Yeye ni Muweza wa kila kitu.