Beveelt hun verstand hen dit, of zijn zij een opstandig volk?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au zinawaamuru akili zao, hao wakanushaji, ziseme neno hili linalogongana (kuwa sifa ya ukuhani, utungaji mashairi, na wendawazimu haiwezekani kukutana wakati mmoja)? Bali wao ni watu waliruka mipaka katika uasi.