Of hebben zij een andere god dan Allah? Verheerlijkt is Allah boven alles wat zij als deelgenoten toekennen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au wao wana muabudiwa anayestahiki kuabudiwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu? Ametakasika Mwenyezi Mungu na kutukuka na yale wanayoshirikisha. Kwani Yeye Hana mshirika katika mamlaka, na Hana mshirika katika Upweke na ustahiki wa kuabudiwa.