Daarom laat Hij voor jullie de oogst groeien, de olijven, de dadelpalmen, de druiven en alle soorten fruit. Waarlijk! Hierin is zeker een duidelijk bewijs en een openlijk Teken voor de mensen die nadenken.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Anawatolea nyinyi kutoka kwenye ardhi, kwa maji haya mamoja, mazao mbalimbali: Anawatolea nyinyi kwayo mizaituni, mitende na mizabibu, na anawatolea nyinyi kwayo kila aina ya matunda, makubwa kwa madogo. Hakika katika hayo pana ushahidi waziwazi kwa watu wanaofikiri na wakazingatia.