Hij stuurt de Engelen naar beneden met de openbaring van Zijn bevel, aan naar wie Hij wil van Zijn dienaren (zeggende): “Waarschuw de mensheid dat geen het recht heeft aanbeden te worden behalve Ik, vrees Mij dus.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu Anawateremsha Malaika kuleta wahyi kwa amri Yake kwa anayemtaka miongoni mwa waja Wake waliotumilizwa kwamba watisheni watu na ushirikina na waambieni kwamba hapana wa kuabudiwa kwa haki isipokuwa mimi. Hivyo basi, nicheni kwa kutekeleza faradhi zangu na kunipwekesha kwa kuniabudu na kunitakasa.