Zeker, Allah weet wat zij verbergen en wat zij in de openheid brengen. Waarlijk, Hij houdt niet van de trotsen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ni kweli kwamba Mwenyezi Mungu Anayajua wanayoyaficha ya itikadi, maneno na vitendo, na wanayoyaonyesha waziwazi katika hayo, na Atawalipa kwa hayo. Kwa kweli Yeye, Aliyeshinda na kutukuka, Hawapendi wanaofanya ujeuri wa kukataa kumuabudu na kumtii, na Atawalipa kwa hilo.