(Zij zijn) degenen die geduldig blijven en hun vertrouwen in hun Heer leggen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hawa wenye kugura katika njia ya Mwenyezi Mungu ndio waliovumilia juu ya amri ya Mwenyezi Mungu na makatazo Yake na juu ya makadirio Yake yenye uchungu, na kwa Mola wao Peke Yake wanategemea, ndipo wakastahiki cheo hiki kikubwa.