Hebben zij niet de zaken gezien die Allah geschapen heeft, (hoe) hun schaduwen van links naar rechts gaan, terwijl zij knielen voor Allah maken en nederig zijn?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Je, kwani makafiri hawa wamekuwa vipofu wakawa hawaangalii vitu venye vivuli Alivyoviumba Mwenyezi Mungu, kama vile majabali na miti ambayo vivuli vyake vinapinduka, mara nyingine upande wa kulia na mara nyingine upande wa kushoto, kufuatia mwendo wa jua kipindi cha mchana na mwendo wa mwezi kipindi cha usiku.Vyote hivyo ni vyenye kuunyenyekea ukuu wa Mwenyezi Mungu na utukufu Wake. Navyo viko chini ya uendeshaji Wake, mipango Yake na utendeshaji nguvu Wake.