Hij verbergt zich voor de mensen vanwege het kwaad waarover hij is ingelicht. Zal hij haar in oneer houden of zal hij haar in de aarde begraven? Zeker, kwaad is hun beslissing.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Anajificha kwa kuchukia asionekane na watu wake, akiona aibu na kuingiwa na huzuni kwa habari iliyomchukiza ya kuzaliwa mtoto wa kike, huku akiwa ametunduwaa juu ya tukio la mtoto huyo aliyezaliwa: je, amuache kuishi kwenye hali ya unyonge na utwevu au amzike mchangani akiwa hai? Jueni mtanabahi kwamba ni uamuzi mbaya mno wanaouamua ya kuwafanya watoto wa kike ni wa Mwenyezi Mungu na watoto wakiume ni wao.