En Allah heeft jullie geschapen en dan laat Hij jullie sterven, en van jullie zijn er die terug worden gebracht naar een vernederende leeftijd, zodat hij niets meer weet na geweten te hebben. Waarlijk! Allah is Alwetend, Almachtig.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, Amewaumba, kisha Atawafisha katika mwisho wa umri wenu. Na kati yenu kuna wale ambao watafikia umri muovu, nao ni ukongwe, kama alivyokuwa uchangani mwake, hajui chochote ambacho alikuwa akikijua. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi, ni muweza, ujuzi Wake na uweza wake vimezunguka kila kitu. Mwenyezi Mungu Aliyemrudisha mwanadamu kwenye hali hii ni muweza wa kumfisha kisha kumfufua.