Degenen die ongelovig waren en (de mensheid) van het Pad van Allah afhielden, voor hen zullen Wij een bestraffing aan de bestraffing toevoegen; omdat zij corruptie plachtten te verspreiden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wale ambao waliukanusha upweke wa Mwenyezi Mungu na unabii wako, ewe mtume, na wakakukanusha wewe, wakawakataza wengine wasimuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, tutawazidishia adhabu juu ya ukanushaji wao na adhabu juu ya kuwazuia watu kuifuata haki. Na hili ni kwa sababu ya kukusudia kwao kufanya uharibifu na kuwapoteza waja kwa ukafiri na uasi.