En toen zij tot jullie kwamen, van boven jullie en van onder jullie, en toen de ogen staarden en de harten in hun kelen klopten, en toen jullie twijfels over Allah hadden.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kumbukeni pindi walipowajia kwa juu yenu kutoka sehemu ya juu ya bonde lilioko upande wa mashariki na kwa chini yenu kutoka sehemu ya kati ya bonde lilioko upande wa magharibi, na pindi macho yalipokodoka kwa kuduwaa sana na kushutuka, na nyoyo zikafika kwenye magorombo (ya koo) kwa kitisho kikali, na wanafiki wakajawa na ukataji tamaa na uvumi ukazidi, na mkawa mnamdhania Mwenyezi Mungu dhana mbaya ya kuwa Yeye Hataiokoa Dini Yake na Hatalikuza jina Lake.