De mensen vragen je over het Uur, zeg: “De kennis daarvan is alleen bij Allah.” Jij weet het niet. Het kan zijn dat het Uur nabij is!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wanakuuliza watu , ewe Mtume, kuhusu kipindi cha Kiyama kwa njia ya kukiona ni kitu ambacho ni mbali kutokea na kwa njia ya kukikanusha. Waambie, «Hakika ya mambo ni kwamba Ujuzi wa kipindi cha Kiyama uko kwa Mwenyezi Mungu.» Na ni lipi linalokujuza wewe, ewe Mtume kwamba huenda Kiyama kikawa karibu?