Hij zei: “En wat voor kennis heb ik van wat zij deden?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Nūḥ, amani imshukie, aliwajibu kwa kusema, «Sikupewa jukumu la kujua matendo yao. Jukumu nililopewa ni kuwalingania wao kwenye Imani. Na linalozingatiwa ni Imani, na sio cheo, ukoo, kazi na ujuzi wa sanaa.