En mijn borst is beklemd en mijn tong drukt zich niet goed uit. Laat Haaron dus komen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na moyo wangu ukaingia kero kwa kunikanusha, na ulimi wangu usiwe na ufasaha wa kulingania. Basi mtume Jibrili aende na wahyi kwa ndugu yangu Hārūn, ili anisaidie na aniamini kwa ninayoyasema, na awafafanulie kile ninachowaambia, kwani yeye ana ufasaha zaidi wa matamshi kuliko mimi.