Het volk van Loeth verloochenden de Boodschappers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
watu wa Lūṭ waliukanusha utume wake, wakawa kwa hilo ni wakanushaji wa Mitume waliosalia, kwa kuwa lile walilolileta la kumpwekesha Mwenyezi Mungu na misingi ya Sheria ni moja.