Op jouw hart (O Mohammed), opdat je tot de waarschuwers behoort.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
akakusomea mpaka ukaikusanya moyoni mwako, kwa kuihifadhi na kuielewa, upate kuwa ni mmoja wa wajumbe wa Mwenyezi Mungu wenye kuwafanya watu wao waogope mateso ya Mwenyezi Mungu, upate kuwaonya, kwa Teremsho hili, binadamu na majini wote.