Zij zullen er niet in geloven tot zij de pijnlijke bestraffing zien.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na hii ikawa ni sababu ya udhalimu wao na uhalifu wao. Basi hapana njia ya wao kubadilika kwa kuyaacha waliyonayo ya kuikanusha Qur’ani mpaka waishuhudie adhabu kali walioahidiwa.