Zij luisteren naar het gesprokene (geruchten) en de meesten van hen zijn leugenaars.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mashetani wanasikiliza kwa kuiba, wanayanyakuwa maneno kutoka sehemu za juu wakawatupia makuhani na wale wanaokuwa na mwenendo wao miongoni mwa watu wenye matendo mabaya. Na wengi wa hawa ni warongo, kwani mmoja wao husema kweli katika neno moja na akaongeza juu yake maneno mia moja ya urongo.