En waarlijk, wij verscholen ons daar op plaatsen om iets op te vangen, maar wie nu wil meeluisteren (na de openbaring aan Mohammed) treft een pijl van vuur aan die op hem loert.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Na sisi tulikuwa kabla ya hapo tunakalia sehemu fulani za mbingu ili kusikiliza habari zake. Basi mwenye kujaribu sasa kusikiliza kwa kuiba atapata kimondo cha moto chenye kumngojea kimchome na kimuangamize.» Na katika aya mbili hizi pana kubatilisha madai ya wachawi na makuhani wanaodai kuwa wanajua ghaibu na kuwadanganya wachache wa akili kwa urongo wao na uzushi wao.