En voor Allah (alleen) knielt ieder die in de hemelen en op aarde is, gewillig of ongewillig, en ook hun schaduwen (onderwerpen zich) in de ochtend en de avond.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Mwenyezi Mungu Peke Yake wanamsujudia, wakinyenyekea na kufuata, walioko mbinguni na ardhini wote, Waumini wanamsujudia na kumnyenyekea kwa ridhaa na hiari, na makafiri wanamnyenyekea kwa nguvu, kwa kuwa wao wanafanya kiburi kumuabudu na hali yao na maumbile yao yanawakanusha juu ya hilo. Na vivuli vya viumbe vinafuata utukufu wa Mwenyezi Mungu, vinatembea kulingana na matakwa Yake mwanzo wa mchana na mwisho wake.