En degenen die het verbond met Allah verbreken, na zijn totstandkoming, en datgene wat Allah bevolen heeft te verenigen geweld aandoen en verderf zaaien in het land, op hen is de vloek. En" voor hen is er een slechte verblijfplaats.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Ama waovu, wamesifiwa kwa sifa kinyume na zile za Waumini. Wao ni wale ambao hawatekelezi ahadi za Mwenyezi Mungu kwa kumpwekesha, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake, kwa ibada baada ya kujitukulia ahadi ya mkazo. Na wao ni wale wanaokata kile ambacho Mwenyezi Mungu amewaamrisha kukiunga kama vile kukata zao na mengineyo na wanafanya uharibifu katika ardhi kwa kufanya maasia. Hao waliosifiwa kwa sifa hizi mbaya watakalolipata ni kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu na watakuwa na mambo ambayo ni mabaya kwao ya adhabu kali katika Nyumba ya Akhera.