Voor hen is er een bestraffing in het leven van deze wereld en zeker een zwaardere bestraffing in het Hiernamaals. En zij hebben geen bescherming tegen Allah.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa wenye kuzuia njia ya Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu ngumu katika maisha ya ulimwenguni kwa kuuawa, kutekwa na kuhiziwa. Na kwa hakika, adhabu yao huko Akhera ni nzito zaidi na ni kali zaidi, na hawatakuwa na kizuizi chenye kuwazuia wasipate adhabu ya Mwenyezi mungu.