Dit is, omdat zij zeggen: “Het vuur zal ons niet aanraken behalve maar voor een aantal dagen.” En datgene wat zij over hun godsdienst bedachten heeft hen misleid.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
kujiepusha huko na haki, sababu yake ni itikadi mbaya walionayo Watu wa Kitabu kwamba wao hawataadhibiwa isipokuwa siku chache. Itikadi hii iliwapelekea wao wamfanyiye ujasiri Mwenyezi Mungu na waidharau Dini Yake na waendelee na dini yao ya batili ambayo walijidanganya nayo nafsi zao.