Alles vernietigend op bevel van haar Heer! Zo was er niets meer van hun zichtbaar, behalve de ruines van hun woningen. Zo vergelden Wij het volk van misdadigers.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Unaangamiza kila kitu unachokipitia katika vitu ambavyo ulitumwa uviangamize kwa amri ya Mola wake na matakwa Yake.» Wakawa hakuna kinachoonekana chochote katika miji yao isipokuwa nyumba zao walizokuwa wakizikaa. Mfano wa malipo haya ndiyo tunayowalipa makafiri kwa sababu ya uhalifu wao na kupita kiasi kwao.