Waarom hebben degenen die zij naast Allah als goden hebben aangenomen, als een manier (om Allah) te benaderen hen niet geholpen? Nee, maar zij zijn van hen verdwenen. En dat is hun leugen, en wat zij plachten te verzinnen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Basi si wangaliwasaidia wao, hao tuliowaangamiza miongoni mwa ummah waliopita, waungu wao ambao walichukua kule kuwaabudu ni ibada ya wao kujikurubisha kwa Mola wao, ili wawaombee mbele Yake. Lakini waungu wao waliwapotea, hawakuwaitikia wala hawakuwatetea. Huo ni urongo wao tu na uzushi walioupanga wa kuwafanya wao ni waungu.